Wanamgambo wauwa wanafunzi 41 Uganda
Wanamgambo wauwa wanafunzi 41 Uganda

Wanamgambo wauwa wanafunzi 41 Uganda

2008-2020-12ans

8 min
News
Play

Description

Wanamgambo wa kundi la ADF wenye uhusiano na kundi la Islamic State waliua wanafunzi 41 na kuteka nyara wengine sita katika shambulio kwenye shule kaskazini mwa Uganda karibu na mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, jeshi lilisema Jumamosi.

Uploader

xander.star

xander.star

Wanamgambo wauwa wanafunzi 41 Uganda - Listen Free | WowFM