
Vijana na Mapenzi Podcast: Waweza kumwacha mpenzi mwenye pesa kwa sababu gani?
Ali ๐
7 min
Kids
Description
Kuna msemo kwamba pesa ni sabuni ya roho. Hata hivyo kuna wapenzi ambao hutengana licha ya kuwa na pesa nyingi na mtu kuamua kumwendea asiyekuwa nazo. Je, ni kipi kinachoweza kuchangia hali hii? Wananchi vilevile washauri wa masuala ya ndoa wanatoa kauli zao.
Uploader
Episodes
1
Vijana na Mapenzi Podcast: Waweza kumwacha mpenzi mwenye pesa kwa sababu gani?
Ali ๐