VIJANA NA MAPENZI PODCAST: Je, ni sawa kuichokora simu ya mchumba wako?
VIJANA NA MAPENZI PODCAST: Je, ni sawa kuichokora simu ya mchumba wako?

VIJANA NA MAPENZI PODCAST: Je, ni sawa kuichokora simu ya mchumba wako?

Ali ๐Ÿ’•

6 min
Kids
Play

Description

Mara nyingi watu wawili wanapochumbiana, huwa kuna msukumo wa kuichokora simu ya mwenzako mfano kuangalia jumbe, kuona picha alizo nazo katika simu, mawasiliano anayofanya na kadhalika. Lakini je, ni sawa kuwa na uhuru wa kuichokora simu ya mpenzi wako ama huenda hali hiyo ikazua mgogoro? Beatrice Maganga amelizamia suala hili akizihusisha kauli za wananchi vilevile hoja za Mwanasosholojia, Alex Munyere.

Uploader

FinnRiver

FinnRiver

VIJANA NA MAPENZI PODCAST: Je, ni sawa kuichokora simu ya mchumba wako? - Listen Free | WowFM