Kumwamini Mungu kwa kumfuata Yesu Kristo (Sehemu ya Pili)
Kumwamini Mungu kwa kumfuata Yesu Kristo (Sehemu ya Pili)

Kumwamini Mungu kwa kumfuata Yesu Kristo (Sehemu ya Pili)

𝐾𝑖𝑑𝑎 𝐼𝑏𝑟𝑎ℎ𝑖𝑚✪

10 min
Comedy & Entertainment
Play

Description

<p>KUMWAMINI MUNGU KWA KUMFUATA/KUPITIA KWA YESU KRISTO.</p> <p>Ukisoma<br /> Luka 8:12<br /> “Wale wa karibu na njia ndio wasikiao, kisha huja Ibilisi akaliondoa hilo neno mioyoni mwao, wasije wakaamini na kuokoka.”</p> <p>Pia</p> <p>Warumi 1:28<br /> “Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.”</p> <p>Ufahamu ulioko ndani ya akili zisizofaa zilifanya wamkatae Mungu. Kwa hiyo akili itafanya mtu amkubali au amkatae Mungu.</p> <p>2 Wakorintho 11:3<br /> “Lakini nachelea; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.”</p> <p>Shetani akitaka uache usafi na unyoofu wa Kristo, hashambulii roho yako kwanza; anashambulia fikira zako kwanza au kinachokusaidia kufikiri, yaani akili.</p> <p>Shetani alipotaka kufikia roho ya Adamu na Hawa alishambulia fikra zao, kwa hiyo akitaka kuzuia watu wasimwamini Yesu kama jinsi Mungu alivyomtuma, atashikilia fikira.<br /> Ukisoma<br /> 2 Wakorintho 4:3‭-‬4<br /> “Lakini ikiwa injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea; ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.”</p> <p>Mathayo 22:36‭-‬37<br /> “Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu? Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.”</p> <p>Akimaanisha kuwa akili zako ziwe na namna fulani ziweze kushiriana na roho na imani la sivyo kumpenda Mungu wako kutapwaya mahali.</p> <p>2 Timotheo 3:8‭-‬9<br /> “Na kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na ile kweli; ni watu walioharibika akili zao, wamekataliwa kwa mambo ya imani. Lakini hawataendelea sana; maana upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama vile na upumbavu wa hao ulivyokuwa dhahiri.”</p> <p>Kinachofanya wapingane na kweli ya Mungu ni akili zao kwa sababu zimeharibika tofauti na kiwango Mungu anachotaka, na kwa sa

Uploader

daisy.road

daisy.road

Kumwamini Mungu kwa kumfuata Yesu Kristo (Sehemu ya Pili) - Listen Free | WowFM