
Je! Raia wana haki yakupewa taarifa kuhusu, hali ya afya ya viongozi wao?
2008-2020-12ans
8 min
News
Description
<p>Viongozi kadhaa katika chama tawala nchini Tanzania, wakiongozwa na waziri mkuu wamekana madai yanayo endelea kusambaa kuwa, Rais Magufuli anapokea matibabu ya coronavirus nje ya nchi.</p><img src="https://feedpress.me/link/18010/14353503.gif" height="1" width="1"/>
Uploader
Episodes
1
Je! Raia wana haki yakupewa taarifa kuhusu, hali ya afya ya viongozi wao?
2008-2020-12ans